Maswali Yanayoulizwa Sana
Chagua lugha yako
  • azərbaycan
  • Afrikaans
  • Bahasa Indonesia
  • Melayu
  • català
  • čeština
  • dansk
  • Deutsch
  • eesti
  • English
  • español
  • français
  • Gaeilge
  • hrvatski
  • italiano
  • Kiswahili
  • latviešu
  • lietuvių
  • magyar
  • Nederlands
  • norsk bokmål
  • o‘zbek
  • Filipino
  • polski
  • Português (Brasil)
  • Português (Portugal)
  • română
  • shqip
  • slovenčina
  • slovenščina
  • suomi
  • svenska
  • Tiếng Việt
  • Türkçe
  • Ελληνικά
  • български
  • қазақ тілі
  • македонски
  • русский
  • српски
  • українська
  • עברית
  • العربية
  • فارسی
  • اردو
  • বাংলা
  • हिन्दी
  • ગુજરાતી
  • ಕನ್ನಡ
  • मराठी
  • ਪੰਜਾਬੀ
  • தமிழ்
  • తెలుగు
  • മലയാളം
  • ไทย
  • 简体中文
  • 繁體中文
  • 日本語
  • 한국어
  • WhatsApp Web
  • Vipengele
  • Pakua
  • Usalama
  • Maswali Yanayoulizwa Sana
  • Pakua
  • Vipengele
  • Usalama
  • Maswali Yanayoulizwa Sana
  • Kuwa karibu

Ni jinsi gani tunaweza kukusaidia?

Unaweza kuperuzi mada hapo chini ili kupata kile unachokitafuta.
KaiOsUsalama na Faragha

Jinsi ya kuzuia au kuruhusu waasiliani

Unaweza kuacha kupokea ujumbe na simu kutoka waasiliani fulani kwa kuwazuia.

Kumzuia mwasiliani

  1. Bonyeza Hiari > Mipangilio > Akaunti > Faragha > Iliyozuiwa > Ongeza mpya...
  2. Tafuta au chagua mwasiliani unayetaka kumzuia.
  3. Bonyeza ZUIA.

Hapa kuna baadhi ya hiari mbadala za kumzuia mwasiliani:

  • Chagua soga iliyo na mwasiliani kwenye orodha yako za soga, kisha bonyeza Hiari > Tazama mwasiliani > Zuia > Zuia.
  • Fungua soga iliyo na mwasiliani, kisha bonyeza Hiari > Tazama mwasiliani > Zuia > Zuia.

Zuia namba ya simu isiyojulikana

Kuzuia namba ya simu isiyojulikana, kuna hiari mbili:

  • Chagua soga iliyo na namba ya simu isiyojulikana kwenye orodha yako aa soga, kisha bonyeza Hiari > Tazama mwasiliani > Zuia > Zuia.
  • Fungua soga iliyo na namba ya simu isiyojulikana, kisha bonyeza Hiari > Tazama mwasiliani > Zuia > Zuia.
Dondoo:
  • Ujumbe na simu zilizotumwa kutoka kwa mwasiliani aliyezuiwa hazitaonekana kwenye simu yako na hazitatumwa kwako.
  • Mwisho kaonwa, mtandaoni, na mabadiliko yoyote yaliyofanyika kwenye picha yako ya jalada hayataonekana tena kwa waasiliani uliowazuia.
  • Kumzuia mtu hakutamwondoa mwasiliani kutoka kwenye orodha ya waasiliani, wala hakutakuondoa kutoka kwenye orodha iliyo kwenye simu ya mwasiliani. Kufuta mwasiliani, lazima umfute mwasiliani kutoka kwenye kitabu cha anwani cha simu yako.
  • Kama una wasiwasi kuwa mwasiliani aliyezuiwa atajua unamzuia, tafadhali soma makala hii.

Kumruhusu mwasiliani

  1. Bonyeza Hiari > Mipangilio > Akaunti > Faragha > Iliozuiwa.
  2. Chagua mwasiliani unayetaka kumruhusu.
  3. Bonyeza RUHUSU.

Hapa kuna hiari kadhaa mbadala za kumzuia mwasiliani:

  • Chagua soga iliyo na mwasiliani kwenye orodha yako ya soga, kisha bonyeza Hiari > Tazama mwasiliani > Ruhusu.
  • Fungua soga iliyo na mwasiliani, kisha bonyeza Hiari > Tazama mwasiliani > Ruhusu.
Dondoo:
  • Kama ukimruhusu mwasiliani, hutapokea ujumbe wowote au simu zilizotumwa wakati alikuwa amezuiwa.
  • Kama ukimruhusu mwasiliani au namba ya simu ambayo haijahifadhiwa hapo awali kwenye kitabu cha anwani cha simu yako, huwezi kumrejesha mwasiliani huyo au namba ya simu kwenye simu yako.
Makala hii ilikufaidi?
NdiyoLa
Kwanini makala hii haikukufaidi?
  • Makala hii ilikuwa na mkanganyiko
  • Makala hii haikujibu swali langu
  • Suluhisho si sahihi
  • Sipendi kipengele au sera
Asante kwa maoni yako
Mwanzo wa Maswali Yanayoulizwa Sana

WhatsApp

  • Vipengele
  • Usalama
  • Pakua
  • WhatsApp Web
  • Biashara
  • Faragha

Shirika

  • Kuhusu
  • Kazi
  • Kituo cha Bidhaa
  • Kuwa karibu
  • Blog
  • Hadithi za WhatsApp

Pakua

  • Mac/PC
  • Android
  • iPhone

Msaada

  • Maswali Yanayoulizwa Sana
  • Twitter
  • Facebook
  • Virusi vya Korona
2021 © WhatsApp LLC
Faragha na Masharti