Ukurasa Mkuu wa WhatsAppUkurasa Mkuu wa WhatsAppKituo cha Msaada
WHATSAPP WEB
VIPENGELE
PAKUA
USALAMA
KITUO CHA MSAADA

Chagua lugha yako

  • azərbaycan

  • Afrikaans

  • Bahasa Indonesia

  • Melayu

  • català

  • čeština

  • dansk

  • Deutsch

  • eesti

  • English

  • español

  • français

  • Gaeilge

  • hrvatski

  • italiano

  • Kiswahili

  • latviešu

  • lietuvių

  • magyar

  • Nederlands

  • norsk bokmål

  • o‘zbek

  • Filipino

  • polski

  • Português (Brasil)

  • Português (Portugal)

  • română

  • shqip

  • slovenčina

  • slovenščina

  • suomi

  • svenska

  • Tiếng Việt

  • Türkçe

  • Ελληνικά

  • български

  • қазақ тілі

  • македонски

  • русский

  • српски

  • українська

  • עברית

  • العربية

  • فارسی

  • اردو

  • বাংলা

  • हिन्दी

  • ગુજરાતી

  • ಕನ್ನಡ

  • मराठी

  • ਪੰਜਾਬੀ

  • தமிழ்

  • తెలుగు

  • മലയാളം

  • ไทย

  • 简体中文

  • 繁體中文(台灣)

  • 繁體中文(香港)

  • 日本語

  • 한국어

  • Pakua

  • Vipengele

  • Usalama

  • Kituo cha Msaada

  • Kuwa karibu

Ni jinsi gani tunaweza kukusaidia?

Unaweza kuperuzi mada hapo chini ili kupata kile unachokitafuta.
  1. Jumla
  2. Usalama na Faragha

Jinsi ya kubadilisha mipangilio yako ya faragha

Kimsingi, WhatsApp huweka mipangilio yako ya faragha kurusuhu:

  • Mtumiaji yeyote kuona mara ya mwisho ulipokuwa mtandaoni, picha ya jalada, taarifa kuhusu na taarifa za kusomwa
  • Walio kwenye anwani yako waone masasisho yako ya hali
  • Mtumiaji yeyote kukuongeza kwenye vikundi

Kubadilisha mipangilio ya faragha

  1. Kwenye:
    • Android: Gusa Chaguo zaidi > Mipangilio > Akaunti > Faragha.
    • iPhone: Gusa Mipangilio > Akaunti > Faragha.
    • KaiOS: Bofya Chaguo > Mipangilio > Akaunti > Faragha.
    • Kompyuta ya mezani: Gusa Menyu > Mipangilio > Faragha.
  2. Unaweza kubadilisha anayeweza:

    • Kuona mara yako ya Mwisho Kuonwa
    • Kuona Picha yako ya Jalada
    • Kuona taarifa Kukuhusu
    • Kuona masasisho yako ya Hali
    • Kuona Taarifa za Kusomwa
    • Kukuongeza kwenye Vikundi
Kumbuka:
  • Ikiwa hushirikishi mara yako ya mwisho kuonwa, hutaweza kuona mara ya mwisho watumiaji wengine walipokuwa mtandaoni.
  • Ukizima taarifa za kusomwa, hutaweza kuona taarifa za kusomwa kutoka kwa watumiaji wengine. Taarifa za kusomwa hutumwa kwa soga za vikundi kila mara.
  • Ikiwa mtu aliye kwenye anwani zako amezima taarifa za kusomwa, hutaweza kuona ikiwa ameona sasisho lako la hali.
  • Hakuna njia ya kubadilisha nani anaweza kuona kama upo mtandaoni au unaandika....
Makala haya yamekusaidia?
NdiyoLa
Kwanini makala hii haikukufaidi?
  • Makala hii ilikuwa na mkanganyiko
  • Makala hii haikujibu swali langu
  • Suluhisho si sahihi
  • Sipendi kipengele au sera
Asante kwa maoni yako
Kituo cha Msaada

WHATSAPP

Vipengele

Usalama

Pakua

WhatsApp Web

Biashara

Faragha

KAMPUNI

Kuhusu

Kazi

Kituo cha Bidhaa

Kuwa karibu

Blog

Hadithi za WhatsApp

PAKUA

Mac/PC

Android

iPhone

MSAADA

Kituo cha Msaada

Twitter

Facebook

Virusi vya Korona

2022 © WhatsApp LLC

Faragha na Masharti