Kituo cha Msaada
Chagua lugha yako
  • azərbaycan
  • Afrikaans
  • Bahasa Indonesia
  • Melayu
  • català
  • čeština
  • dansk
  • Deutsch
  • eesti
  • English
  • español
  • français
  • Gaeilge
  • hrvatski
  • italiano
  • Kiswahili
  • latviešu
  • lietuvių
  • magyar
  • Nederlands
  • norsk bokmål
  • o‘zbek
  • Filipino
  • polski
  • Português (Brasil)
  • Português (Portugal)
  • română
  • shqip
  • slovenčina
  • slovenščina
  • suomi
  • svenska
  • Tiếng Việt
  • Türkçe
  • Ελληνικά
  • български
  • қазақ тілі
  • македонски
  • русский
  • српски
  • українська
  • עברית
  • العربية
  • فارسی
  • اردو
  • বাংলা
  • हिन्दी
  • ગુજરાતી
  • ಕನ್ನಡ
  • मराठी
  • ਪੰਜਾਬੀ
  • தமிழ்
  • తెలుగు
  • മലയാളം
  • ไทย
  • 简体中文
  • 繁體中文
  • 日本語
  • 한국어
  • WhatsApp Web
  • Vipengele
  • Pakua
  • Usalama
  • Kituo cha Msaada
  • Pakua
  • Vipengele
  • Usalama
  • Kituo cha Msaada
  • Kuwa karibu

Ni jinsi gani tunaweza kukusaidia?

Unaweza kuperuzi mada hapo chini ili kupata kile unachokitafuta.
JumlaUsalama na Faragha

Jinsi ya kubadilisha mipangilio ya faragha ya kikundi

Kwenye Android, iPhone na KaiOS, unaweza kuamua ni nani anaweza kukuongeza kwenye kikundi kwa kurekebisha Mipangilio yako ya WhatsApp.

Kumbuka: Mabadiliko kwenye mipangilio ya faragha ya kikundi hayawezi kufanywa kwenye WhatsApp Web au Desktop, lakini mipangilio kwenye simu yako itasawazishwa na WhatsApp Web na WhatsApp Desktop.

Kubadilisha mipangilio ya faragha ya kikundi

  1. Nenda kwenye WhatsApp Mipangilio:
    • Android: Gusa Hiari zaidi > Mipangilio > Akaunti > Faragha > Vikundi.
    • iPhone: Gusa Mipangilio > Akaunti > Faragha > Vikundi.
    • KaiOS: Bonyeza Hiari > Mipangilio > Akaunti > Faragha > Vikundi.
  2. Chagua mojawapo ya zifuatazo:
    • Kila mtu: Kila mtu, wakiwemo wasio kwenye kitabu cha anwani cha simu yako, wanaweza kukuongeza kwenye vikundi bila idhini yako.
    • Waasiliani Wangu: Waasiliani tu walio kwenye kitabu chako cha anwani, wanaweza kukuongeza kwenye vikundi bila idhini yako. Ikiwa mtawala wa kikundi ambaye hayupo kwenye kitabu chako cha anwani akijaribu kukuongeza kwenye kikundi, atapata ibukizi itakayomwambia hawezi kukuongeza na itamuuliza aguse Alika kwenye Kikundi au bonyeza Endelea, ikifuatwa na kitufe cha kutuma, kutuma mwaliko wa kikundi binafsi kupitia soga ya kibinafsi. Utakuwa na siku tatu za kukubali mwaliko kabla ya muda wake kuisha.
    • Waasiliani Wangu Isipokuwa...: Waasiliani tu walio kwenye kitabu chako cha anwani, isipokuwa wale unaowatenga, wanaweza kukuongeza kwenye vikundi bila idhini yako. Baada ya kuchagua Waasiliani Wangu Isipokuwa... unaweza kutafuta au kuchagua waasiliani wa kutowajumuisha. Msimamizi wa kikundi ambaye hujamjumuisha akijaribu kukuongeza kwenye kikundi, atapata arifa itakayomwambia hawezi kukuongeza na itamuuliza aguse Alika kwenye Kikundi ikifuatiwa na kitufe cha tuma, ili akutumie mwaliko wa kujiunga na kikundi kupitia soga ya binafsi. Utakuwa na siku tatu za kukubali mwaliko kabla ya muda wake kuisha.
  3. Ukiulizwa, gusa NIMEMALIZA au bonyeza SAWA.
Makala haya yamekusaidia?
NdiyoLa
Kwanini makala hii haikukufaidi?
  • Makala hii ilikuwa na mkanganyiko
  • Makala hii haikujibu swali langu
  • Suluhisho si sahihi
  • Sipendi kipengele au sera
Asante kwa maoni yako
Kituo cha Msaada

WhatsApp

  • Vipengele
  • Usalama
  • Pakua
  • WhatsApp Web
  • Biashara
  • Faragha

Shirika

  • Kuhusu
  • Kazi
  • Kituo cha Bidhaa
  • Kuwa karibu
  • Blog
  • Hadithi za WhatsApp

Pakua

  • Mac/PC
  • Android
  • iPhone

Msaada

  • Kituo cha Msaada
  • Twitter
  • Facebook
  • Virusi vya Korona
2021 © WhatsApp LLC
Faragha na Masharti