Mwisho kaonwa na mtandaoni hukuambia muda wa mwisho waasiliani wako walitumia WhatsApp, au ikiwa wapo mtandaoni.
Kama mwasiliani akiwa mtandaoni, amefungua WhatsApp kwenye kifaa chake na ameunganishwa na intaneti. Hata hivyo, haimaanishi kuwa mwasiliani amesoma ujumbe wako.
Mwisho kaonwa kunahusu muda wa mwisho mwasiliani alipotumia WhatsApp. Kupitia mipangilio yetu ya faragha, una chaguo la kudhibiti nani anayeweza kuona mwisho kaonwa kwako. Tafadhali zingatia huwezi kuficha kuwa mtandaoni kwako.
Kuna sababu chache kwa nini unaweza kushindwa kuona mwisho kaonwa kwa mwasiliani wako: