Ukurasa Mkuu wa WhatsAppUkurasa Mkuu wa WhatsAppKituo cha Msaada
WHATSAPP WEB
VIPENGELE
PAKUA
USALAMA
KITUO CHA MSAADA

Chagua lugha yako

  • azərbaycan

  • Afrikaans

  • Bahasa Indonesia

  • Melayu

  • català

  • čeština

  • dansk

  • Deutsch

  • eesti

  • English

  • español

  • français

  • Gaeilge

  • hrvatski

  • italiano

  • Kiswahili

  • latviešu

  • lietuvių

  • magyar

  • Nederlands

  • norsk bokmål

  • o‘zbek

  • Filipino

  • polski

  • Português (Brasil)

  • Português (Portugal)

  • română

  • shqip

  • slovenčina

  • slovenščina

  • suomi

  • svenska

  • Tiếng Việt

  • Türkçe

  • Ελληνικά

  • български

  • қазақ тілі

  • македонски

  • русский

  • српски

  • українська

  • עברית

  • العربية

  • فارسی

  • اردو

  • বাংলা

  • हिन्दी

  • ગુજરાતી

  • ಕನ್ನಡ

  • मराठी

  • ਪੰਜਾਬੀ

  • தமிழ்

  • తెలుగు

  • മലയാളം

  • ไทย

  • 简体中文

  • 繁體中文(台灣)

  • 繁體中文(香港)

  • 日本語

  • 한국어

  • Pakua

  • Vipengele

  • Usalama

  • Kituo cha Msaada

  • Kuwa karibu

Ni jinsi gani tunaweza kukusaidia?

Unaweza kuperuzi mada hapo chini ili kupata kile unachokitafuta.
  1. Jumla
  2. Akaunti na Jalada

Akaunti zilizoibiwa

Kuhusu akaunti zilizoibiwa

Kamwe usiwape watu wengine msimbo wako wa uthibitisho wa SMS kutoka WhatsApp, hata kama ni marafiki au familia yako. Ikiwa umehadaiwa ukashiriki msimbo wako na ukapoteza ufikiaji wa akaunti yako ya WhatsApp, soma maagizo hapa chini ili urejeshe akaunti yako.

Ikiwa unashuku kuwa mtu mwingine anatumia akaunti yako ya WhatsApp, unapaswa kuwajulisha ndugu na marafiki kwa sababu mtu huyo anaweza kujifanya kuwa wewe katika soga na vikundi. Tafadhali kumbuka, WhatsApp imefumbwa mwisho hadi mwisho na ujumbe huhifadhiwa kwenye kifaa chako, kwa hivyo mtu anayefikia akaunti yako kwenye kifaa kingine hawezi kusoma mazungumzo ya zamani.

Jinsi ya kurejesha akaunti yako

Ingia kwenye WhatsApp ukitumia nambari yako ya simu kisha uthibitishe nambari yako ya simu kwa kuweka msimbo wa tarakimu 6 uliopokea kupitia SMS. Pata maelezo zaidi kuhusu kuthibitisha nambari yako ya simu kwenye Kituo chetu cha Msaada: Android | iPhone.

Mara tu ukiweka msimbo wa tarakimu 6 uliopokea kupitia SMS, mtu anayetumia akaunti yako ataondolewa kiotomatiki.

Huenda pia ukaombwa uweke msimbo wa uhakiki wa hatua mbili. Kama hujui msimbo huu, mtu anayetumia akaunti yako anaweza kuwa aliwasha uhakiki wa hatua mbili. Ni lazima usubiri siku 7 kabla ya kuingia bila msimbo wa uhakiki wa hatua mbili. Bila kujali kama unajua msimbo huu wa kuthibitisha au la, mtu huyo mwingine ametolewa kwenye akaunti mara tu ulipoweka msimbo wa tarakimu 6 uliopokea kupitia SMS. Pata maelezo zaidi kuhusu uhakiki wa hatua mbili kwenye makala haya.

Kumbuka
  • Kama unaweza kufikia akaunti yako na unahisi kuwa mtu anatumia akaunti yako kupitia WhatsApp Web/Desktop, tunakushauri utoke kwenye kompyuta zote ukitumia simu yako.
  • Ili kulinda akaunti yako, WhatsApp itakuarifu wakati mtu anajaribu kusajili akaunti ya WhatsApp kwa nambari yako ya simu. Pata maelezo zaidi kwenye makala haya.

Rasilimali

  • Kwa vidokezo zaidi vya usalama wa akaunti soma makala yetu ya Vidokezo vya Usalama wa Akaunti.
  • Kama simu yako imepotea au kuibiwa, angalia makala ya Simu zilizopotea na zilizoibiwa.
  • Ukipokea msimbo wa uthibitisho bila kuomba tafadhali soma makala haya.

Makala haya yamekusaidia?
NdiyoLa
Kwanini makala hii haikukufaidi?
  • Makala hii ilikuwa na mkanganyiko
  • Makala hii haikujibu swali langu
  • Suluhisho si sahihi
  • Sipendi kipengele au sera
Asante kwa maoni yako
Kituo cha Msaada

WHATSAPP

Vipengele

Usalama

Pakua

WhatsApp Web

Biashara

Faragha

KAMPUNI

Kuhusu

Kazi

Kituo cha Bidhaa

Kuwa karibu

Blog

Hadithi za WhatsApp

PAKUA

Mac/PC

Android

iPhone

MSAADA

Kituo cha Msaada

Twitter

Facebook

Virusi vya Korona

2022 © WhatsApp LLC

Faragha na Masharti