WhatsApp inakuruhusu kuumbiza maandishi uliyochaguliwa kwenye jumbe zako.
Kuweka italiki kwenye ujumbe, weka mstari pande zote mbili za maandishi, kama hivi:
maandishi
Kuweka herufi nzito kwenye ujumbe, weka nyota pande zote mbili wa maandishi, kama hivi:
*maandishi*
Kuweka mkato ulalo kwenye ujumbe, weka kiwimbi pande zote mbili wa maandishi, kama hivi:
~maandishi~
Kuweka nafasi moja
kwenye ujumbe, weka alama tatu za kunukuu pande zote mbili za maandishi, kama hivi:
```maandishi```
Mbadala:
Kumbuka: Hamna hiari ya kuzima kipengele hiki.