Kituo cha Msaada
Chagua lugha yako
  • azərbaycan
  • Afrikaans
  • Bahasa Indonesia
  • Melayu
  • català
  • čeština
  • dansk
  • Deutsch
  • eesti
  • English
  • español
  • français
  • Gaeilge
  • hrvatski
  • italiano
  • Kiswahili
  • latviešu
  • lietuvių
  • magyar
  • Nederlands
  • norsk bokmål
  • o‘zbek
  • Filipino
  • polski
  • Português (Brasil)
  • Português (Portugal)
  • română
  • shqip
  • slovenčina
  • slovenščina
  • suomi
  • svenska
  • Tiếng Việt
  • Türkçe
  • Ελληνικά
  • български
  • қазақ тілі
  • македонски
  • русский
  • српски
  • українська
  • עברית
  • العربية
  • فارسی
  • اردو
  • বাংলা
  • हिन्दी
  • ગુજરાતી
  • ಕನ್ನಡ
  • मराठी
  • ਪੰਜਾਬੀ
  • தமிழ்
  • తెలుగు
  • മലയാളം
  • ไทย
  • 简体中文
  • 繁體中文
  • 日本語
  • 한국어
  • WhatsApp Web
  • Vipengele
  • Pakua
  • Usalama
  • Kituo cha Msaada
  • Pakua
  • Vipengele
  • Usalama
  • Kituo cha Msaada
  • Kuwa karibu

Ni jinsi gani tunaweza kukusaidia?

Unaweza kuperuzi mada hapo chini ili kupata kile unachokitafuta.
AndroidUsalama na Faragha

Jinsi ya kuzuia au kuruhusu mwasiliani

Unaweza kuacha kupokea ujumbe, simu, sasisho za hali kutoka waasiliani fulani kwa kuwazuia.


Kumzuia mwasiliani

  1. Fungua WhatsApp > gusa Hiari zaidi > Mipangilio.
  2. Gusa Akaunti > Faragha > Zuia waasiliani.
    1. Gusa Ongeza.
    2. Tafuta au chagua mwasiliani unayetaka kumzuia.

Hapa kuna baadhi ya hiari mbadala za kumzuia mwasiliani:

  • Fungua soga na mwasiliani, kisha gusa Hiari zaidi > Zaidi > Zuia > ZUIA au RIPOTI NA ZUIA, ambayo ita ripoti na kuzuia namba hiyo.
  • Fungua soga na mwasiliani, kisha gusa jina la mwasiliani > Zuia > ZUIA.

Zuia namba ya simu isiyojulikana

  1. Fungua soga ya WhatsApp na namba ya simu isiyojulikana.
  2. Gusa ZUIA.
  3. Gusa ZUIA au RIPOTI NA ZUIA, ambayo ita ripoti na kuzuia namba.
Kumbuka:
  • Ujumbe, simu na sasisho za hali zilizotumwa na mwasiliani aliyezuiwa hazitaonekana kwenye simu yako na hazitapokelewa kwako.
  • Mwisho kaonwa kwako, mtandaoni, sasisho za hali na mabadiliko yoyote uliyofanya kwa picha ya jalada lako hayataonekana tena kwa waasiliani uliowazuia.
  • Kumzuia mwasiliani hakutamwondoa kutoka kwenye orodha yako ya waasiliani, wala hakutakuondoa kutoka kwenye orodha kwenye simu ya mwasiliani. Kufuta mwasiliani, lazima umfute mwasiliani kutoka kwenye kitabu cha anwani cha simu yako.
  • Kama una wasiwasi kuwa mwasiliani aliyezuiwa atajua unamzuia, tafadhali soma makala hii.

Kumruhusu mwasiliani

  1. Kwenye WhatsApp, gusa Hiari zaidi > Mipangilio.
  2. Gusa Akaunti > Faragha > Zuia waasiliani.
  3. Gusa mwasiliani unayetaka kumruhusu.
  4. Gusa Ruhusu {mwasiliani}. Wewe na mwasiliani sasa mtaweza kutuma na kupokea ujumbe, simu, na sasisho za hali.

Mbadala, unaweza kutafuta mwasiliani uliyemzuia > gusa na shikilia mwasiliani > gusa Ruhusu {mwasiliani}.

Kumbuka:
  • Ukimruhusu mwasiliani, hutapokea ujumbe, simu au sasisho za hali zilizotuma na mwasilia wakati alipokuwa amezuiwa.
  • Ukimruhusu mwasiliani au namba ya simu ambayo haijahifadhiwa hapo awali kwenye kitabu cha anwani ya simu yako, huwezi kumrejesha mwasiliani huyo au namba ya simu kwenye kifaa chako.

Rasilimali zinazohusiana:

Jinsi ya kuzuia na kuruhusu waasiliani: iPhone | KaiOS

Makala haya yamekusaidia?
NdiyoLa
Kwanini makala hii haikukufaidi?
  • Makala hii ilikuwa na mkanganyiko
  • Makala hii haikujibu swali langu
  • Suluhisho si sahihi
  • Sipendi kipengele au sera
Asante kwa maoni yako
Kituo cha Msaada

WhatsApp

  • Vipengele
  • Usalama
  • Pakua
  • WhatsApp Web
  • Biashara
  • Faragha

Shirika

  • Kuhusu
  • Kazi
  • Kituo cha Bidhaa
  • Kuwa karibu
  • Blog
  • Hadithi za WhatsApp

Pakua

  • Mac/PC
  • Android
  • iPhone

Msaada

  • Kituo cha Msaada
  • Twitter
  • Facebook
  • Virusi vya Korona
2021 © WhatsApp LLC
Faragha na Masharti